slot gacor syair sgp
Quick jump to page content
  • Main Navigation
  • Main Content
  • Sidebar
  • Register
  • Login
Logo Jarida la Kiswahili Sanifu
  • About the Journal
  • Current
  • Archives
  • Submissions
  • Privacy Statement
  • Editorial Team
  • Contact

About Journal

Jarida la Kiswahili Sanifu (JAKISA) ni jarida wazi linalotathminiwa na wenzi. Jarida hili litachapisha makala za taaluma ya Kiswahili. Makala zote zitatumwa kwa Mhariri Mkuu na kufanyiwa tathmini ya kina ya kitaaluma. Makala zitakazokubaliwa ni zile zinazotokana na tahakiki za vitabu, tasnifu, uchunguzi kifani na kazi mradi miongoni mwa nyingine. Madhumuni yake ni:

1. Kupanua welewa na ujuzi katika lugha, isimu, fasihi pamoja na utamaduni wa Kiswahili.

2. Kutoa nafasi kwa mijadala ya kitaaluma ya masuala yanayohusu Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika kwa kupokea kazi asilia kuhusu isimu, lugha, fasihi, utamaduni, historia, falsafa, mbinu za ufunzaji pamoja na taaluma zinazofungamana na Kiswahili.

3. Kutoa nafasi kwa watafiti wa Kiswahili wa viwango vya elimu ya juu kwa kupokea makala zilizoandikwa kwa Kiswahili. Hata hivyo, makala zilizoandikwa kwa Kiingereza kuhusu taaluma ya Kiswahili zitakubaliwa.

ISSN (Online): 3079-2665

  1. Home
  2. Archives
  3. Vol. 2 No. 1 (2025)

Published: September 22, 2025

Articles

Uhakiki wa Masuala ya Kitamaushi Katika Riwaya ya Safari ya Lamu

10.61889/jakisa.v2i1.45
1 - 7 John Wangila, Judith Khasoa
Download PDF
Read Statistic: 75

Kiunzi cha Kweli-Bunilizi katika Hadithi ya “Mwendawazimu”: Mtazamo wa Uhakiki-Maeneo

10.61889/jakisa.v2i1.75
8 - 13 Julius Mulama Shitemi, Tom Olali, Evans Mbuthia, Alex Wanjala
Download PDF
Read Statistic: 34

Uchunguzi Kisemiotiki wa Athari za Kihistoria na Kimazingira kwa Uchumi na Maisha ya Kijamii katika Pwani ya Kenya

10.61889/jakisa.v2i1.88
14 – 20 Leonard Sanja, Evans Mbuthia
Download PDF
Read Statistic: 1

Viwango vya Makosa ya Kisarufi katika Insha za Wanafunzi wa Mtaala wa Umilisi

10.61889/jakisa.v2i1.78
21 – 29 Edmond okiya, Dr. Miruka, Maurine Kangahi
Download PDF
Read Statistic: 2

Umahuluti wa Kiisimu Katika Nyiso za Wabukusu

10.61889/jakisa.v2i1.111
30 – 39 Eric Wamalwa
Download PDF
Read Statistic: 3

Latest publications

  • Atom logo
  • RSS2 logo
  • RSS1 logo

Information

  • For Readers
  • For Authors
  • For Librarians

Browse

  • Categories

Make a Submission

Make a Submission

Principal Contact

{{PRINCIPAL_NAME}}
Masinde Muliro University of Science and Technology
P.O. Box 190-50100, Kakamega, Kenya
{{PRINCIPAL_PHONE}}
{{PRINCIPAL_EMAIL}}

Support Contact

{{SUPPORT_NAME}}
Masinde Muliro University of Science and Technology
P.O. Box 190-50100, Kakamega, Kenya
{{SUPPORT_PHONE}}
{{SUPPORT_EMAIL}}

Article Processing Charges (APC)

Jarida la Kiswahili Sanifu
charges an article processing fee of USD 100.

Account Name: MMUST IGUs
Account Number: 0098080317
Bank / Branch: Absa Bank, Kakamega Branch
Swift Code: BARCKENX
Reference: INTJ

© 2026 Jarida la Kiswahili Sanifu
Masinde Muliro University of Science and Technology, Kakamega, Kenya

This journal is designed by MMUST Library

Ver 1.4 : openjournaltheme.com
academicpro3themeplugin is using invalid key, Click here to support us