slot gacor syair sgp
Quick jump to page content
  • Main Navigation
  • Main Content
  • Sidebar
  • Register
  • Login
Logo Jarida la Kiswahili Sanifu
  • About the Journal
  • Current
  • Archives
  • Submissions
  • Privacy Statement
  • Editorial Team
  • Contact

About Journal

Jarida la Kiswahili Sanifu (JAKISA) ni jarida wazi linalotathminiwa na wenzi. Jarida hili litachapisha makala za taaluma ya Kiswahili. Makala zote zitatumwa kwa Mhariri Mkuu na kufanyiwa tathmini ya kina ya kitaaluma. Makala zitakazokubaliwa ni zile zinazotokana na tahakiki za vitabu, tasnifu, uchunguzi kifani na kazi mradi miongoni mwa nyingine. Madhumuni yake ni:

1. Kupanua welewa na ujuzi katika lugha, isimu, fasihi pamoja na utamaduni wa Kiswahili.

2. Kutoa nafasi kwa mijadala ya kitaaluma ya masuala yanayohusu Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika kwa kupokea kazi asilia kuhusu isimu, lugha, fasihi, utamaduni, historia, falsafa, mbinu za ufunzaji pamoja na taaluma zinazofungamana na Kiswahili.

3. Kutoa nafasi kwa watafiti wa Kiswahili wa viwango vya elimu ya juu kwa kupokea makala zilizoandikwa kwa Kiswahili. Hata hivyo, makala zilizoandikwa kwa Kiingereza kuhusu taaluma ya Kiswahili zitakubaliwa.

ISSN (Online): 3079-2665

  1. Home
  2. Archives
  3. Vol. 1 No. 1 (2024)

Published: December 3, 2024

Articles

Tahariri

10.61889/jakisa.v1i1.66
Ernest Mohochi
Download PDF
Read Statistic: 67

Matumizi ya mkabala njia mseto katika ufundishaji na ujifunzaji wa Kiswahili katika shule za upili

10.61889/jakisa.v1i1.13
1 - 7 Kelvin Ihaji, Frida Miruka, John K’Mraiji
Download PDF
Read Statistic: 143

Changamoto na suluhu za usimilishaji wa vielelezo katika fasihi ya watoto: mfano kutoka wasifu wa Mwana Kupona wa King’ei (2008)

10.61889/jakisa.v1i1.19
8 - 17 Stephen Mwendwa, Pamela Ngugi, Catherine Ndungo
Download PDF
Read Statistic: 87

Mabadiliko ya Itikadi za Ujinaishaji katika Jamii ya Wakuria

10.61889/jakisa.v1i1.25
18 - 25 Roseline Mwikali, Ernest Mohochi, James Ogola
Download PDF
Read Statistic: 83

Nyimbo za Kiswahili kama mkakati wa kuhamasisha umma kuhusu UVIKO-19 nchini Kenya

10.61889/jakisa.v1i1.21
26 - 32 Jamila Masitsa, Kenneth Simala
Download PDF
Read Statistic: 40

Maadhimisho ya Siku kuu ya Kiswahili Duniani: Upi mwelekeo mwafaka?

10.61889/jakisa.v1i1.50
33 - 40 Frida Miruka, Ernest Mohochi , Pamela Ngugi, Juliet Jagero
Download PDF
Read Statistic: 117

Latest publications

  • Atom logo
  • RSS2 logo
  • RSS1 logo

Information

  • For Readers
  • For Authors
  • For Librarians

Browse

  • Categories

Make a Submission

Make a Submission

Principal Contact

{{PRINCIPAL_NAME}}
Masinde Muliro University of Science and Technology
P.O. Box 190-50100, Kakamega, Kenya
{{PRINCIPAL_PHONE}}
{{PRINCIPAL_EMAIL}}

Support Contact

{{SUPPORT_NAME}}
Masinde Muliro University of Science and Technology
P.O. Box 190-50100, Kakamega, Kenya
{{SUPPORT_PHONE}}
{{SUPPORT_EMAIL}}

Article Processing Charges (APC)

Jarida la Kiswahili Sanifu
charges an article processing fee of USD 100.

Account Name: MMUST IGUs
Account Number: 0098080317
Bank / Branch: Absa Bank, Kakamega Branch
Swift Code: BARCKENX
Reference: INTJ

© 2026 Jarida la Kiswahili Sanifu
Masinde Muliro University of Science and Technology, Kakamega, Kenya

This journal is designed by MMUST Library

Ver 1.4 : openjournaltheme.com
academicpro3themeplugin is using invalid key, Click here to support us