Quick jump to page content
  • Main Navigation
  • Main Content
  • Sidebar
  • Register
  • Login
Jarida la Kiswahili Sanifu
  • Current
  • Archives
  • About
    • About the Journal
    • Submissions
    • Editorial Team
    • Privacy Statement
    • Contact
##common.pageHeaderLogo.altText##

About Journal

Jarida la Kiswahili Sanifu (JAKISA) ni jarida wazi linalotathminiwa na wenzi. Jarida hili litachapisha makala za taaluma ya Kiswahili. Makala zote zitatumwa kwa Mhariri Mkuu na kufanyiwa tathmini ya kina ya kitaaluma. Makala zitakazokubaliwa ni zile zinazotokana na tahakiki za vitabu, tasnifu, uchunguzi kifani na kazi mradi miongoni mwa nyingine. Madhumuni yake ni:

1. Kupanua welewa na ujuzi katika lugha, isimu, fasihi pamoja na utamaduni wa Kiswahili.

2. Kutoa nafasi kwa mijadala ya kitaaluma ya masuala yanayohusu Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika kwa kupokea kazi asilia kuhusu isimu, lugha, fasihi, utamaduni, historia, falsafa, mbinu za ufunzaji pamoja na taaluma zinazofungamana na Kiswahili.

3. Kutoa nafasi kwa watafiti wa Kiswahili wa viwango vya elimu ya juu kwa kupokea makala zilizoandikwa kwa Kiswahili. Hata hivyo, makala zilizoandikwa kwa Kiingereza kuhusu taaluma ya Kiswahili zitakubaliwa.

ISSN (Online): 3079-2665

  1. Home
  2. Archives
  3. Vol. 1 No. 1 (2024)

Published: 2024-12-03

Articles

Tahariri

Ernest Mohochi
Download PDF

Matumizi ya mkabala njia mseto katika ufundishaji na ujifunzaji wa Kiswahili katika shule za upili

Kelvin Ihaji, Frida Miruka, John K’Mraiji

1 - 7

Download PDF

Changamoto na suluhu za usimilishaji wa vielelezo katika fasihi ya watoto: mfano kutoka wasifu wa Mwana Kupona wa King’ei (2008)

Stephen Mwendwa, Pamela Ngugi, Catherine Ndungo

8 - 17

Download PDF

Mabadiliko ya Itikadi za Ujinaishaji katika Jamii ya Wakuria

Roseline Mwikali, Ernest Mohochi, James Ogola

18 - 25

Download PDF

Nyimbo za Kiswahili kama mkakati wa kuhamasisha umma kuhusu UVIKO-19 nchini Kenya

Jamila Masitsa, Kenneth Simala

26 - 32

Download PDF

Maadhimisho ya Siku kuu ya Kiswahili Duniani: Upi mwelekeo mwafaka?

Frida Miruka, Ernest Mohochi , Pamela Ngugi, Juliet Jagero

33 - 40

Download PDF

Current Issue

  • Atom logo
  • RSS2 logo
  • RSS1 logo

Information

  • For Readers
  • For Authors
  • For Librarians
##common.pageHeaderLogo.altText##
MMUST Academic Journals
by MMUST Journal System