slot gacor syair sgp
Quick jump to page content
  • Main Navigation
  • Main Content
  • Sidebar
  • Register
  • Login
Logo Jarida la Kiswahili Sanifu
  • About the Journal
  • Current
  • Archives
  • Submissions
  • Privacy Statement
  • Editorial Team
  • Contact

About Journal

Jarida la Kiswahili Sanifu (JAKISA) ni jarida wazi linalotathminiwa na wenzi. Jarida hili litachapisha makala za taaluma ya Kiswahili. Makala zote zitatumwa kwa Mhariri Mkuu na kufanyiwa tathmini ya kina ya kitaaluma. Makala zitakazokubaliwa ni zile zinazotokana na tahakiki za vitabu, tasnifu, uchunguzi kifani na kazi mradi miongoni mwa nyingine. Madhumuni yake ni:

1. Kupanua welewa na ujuzi katika lugha, isimu, fasihi pamoja na utamaduni wa Kiswahili.

2. Kutoa nafasi kwa mijadala ya kitaaluma ya masuala yanayohusu Kiswahili na lugha nyingine za Kiafrika kwa kupokea kazi asilia kuhusu isimu, lugha, fasihi, utamaduni, historia, falsafa, mbinu za ufunzaji pamoja na taaluma zinazofungamana na Kiswahili.

3. Kutoa nafasi kwa watafiti wa Kiswahili wa viwango vya elimu ya juu kwa kupokea makala zilizoandikwa kwa Kiswahili. Hata hivyo, makala zilizoandikwa kwa Kiingereza kuhusu taaluma ya Kiswahili zitakubaliwa.

ISSN (Online): 3079-2665

  1. Home
  2. Archives
  3. Vol. 2 No. 2 (2025)

Published: October 1, 2025

Articles

Mchango wa Kinandi katika Kuihamasisha Jamii kuhusu Ustawi wa Kilimo Kupitia Vipindi vya Runinga ya KASS

10.61889/jakisa.v2i2.83
1 – 10 Kipchirchir Melly, Sangai Mohochi, Walela Wamalwa
Download PDF
Read Statistic: 0

Dhima za Wahusika Jumui katika Riwaya za Kiswahili za Kimajaribio

10.61889/jakisa.v2i2.129
11 - 18 Joyce Obetch , James Ontieri, Mark Odawo
Download PDF
Read Statistic: 0

Mbinu Zinazozua Mielekeo ya Wanafunzi katika Ufundishwaji wa Kiswahili katika Mtaala wa Umilisi: Mfano wa Gatuzi Dogo la Masaba Kusini

10.61889/jakisa.v2i2.119
19 – 25 Lena Nyandwaro, James Ontieri, Sangai Mohochi
Download PDF
Read Statistic: 0

Latest publications

  • Atom logo
  • RSS2 logo
  • RSS1 logo

Information

  • For Readers
  • For Authors
  • For Librarians

Browse

  • Categories

Make a Submission

Make a Submission

Principal Contact

{{PRINCIPAL_NAME}}
Masinde Muliro University of Science and Technology
P.O. Box 190-50100, Kakamega, Kenya
{{PRINCIPAL_PHONE}}
{{PRINCIPAL_EMAIL}}

Support Contact

{{SUPPORT_NAME}}
Masinde Muliro University of Science and Technology
P.O. Box 190-50100, Kakamega, Kenya
{{SUPPORT_PHONE}}
{{SUPPORT_EMAIL}}

Article Processing Charges (APC)

Jarida la Kiswahili Sanifu
charges an article processing fee of USD 100.

Account Name: MMUST IGUs
Account Number: 0098080317
Bank / Branch: Absa Bank, Kakamega Branch
Swift Code: BARCKENX
Reference: INTJ

© 2026 Jarida la Kiswahili Sanifu
Masinde Muliro University of Science and Technology, Kakamega, Kenya

This journal is designed by MMUST Library

Ver 1.4 : openjournaltheme.com
academicpro3themeplugin is using invalid key, Click here to support us